TRA

TRA

Saturday, August 26, 2017

Biashara za Korea Kaskazini zapigwa marufuku China

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

China imepiga marufuku watu na makampuni ya Korea kaskazini kufanya biashara China.

Tangazo la marufuku hiyo lililotolewa na wizara ya biashara Beijing, linaambatana na vikwazo vya umoja wa mataifa vilivyoidhinishwa mapema mwezi huu kufuatia mradi wa Pyongyang kufanyia majiribio makombora yake.

Wizara hiyo pia imeeleza kuwa maombi ya uwekezaji kutoka kwa Korea kaskazini yatakatiliwa.

 Waziri wa masuala ya kigeni nchini China Wang Yi

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger