Tangu ifanyie majaribio kombora lake la masafa marefu mwezi uliopita, Pyongyang imetishia kurusha makombora yake katika kisiwa cha Marekani cha Guam.
Lakini jaribio hili la hivi karibuni linajiri kufuatia zoezi la kijeshi la pamoja kati ya Marekani na Korea Kusini.
Kombora la Korea Kaskazini
Maelfu ya wanajeshi wa Marekani na Korea Kusini wanaendelea kufanya zoezi la pamoja ambalo hufanywa kwa kutumia Komyupta.
- Korea Kaskazini: Marekani iliwapora wanadiplomasia wetu
- Korea Kaskazini: Tutaishambulia Marekani kwa nyuklia
- Marekani yatishia kuiadhibu Korea Kaskazini
- Korea Kaskazini yaonywa na Marekani
Makombora hayo yalirushwa kwa tofauti ya dakika 30 , kulingana na afisa mmoja.
Wizara ya ulinzi ya Korea Kusini ilisema: Jeshi linaangalia kwa umakini hatua ya Korea Kaskazini ya uchokozi.
CHANZO: BBC
SHARE









No comments:
Post a Comment