TRA

TRA

Thursday, August 24, 2017

MAN UNITED YAMREJESHA ZLATAN IBRAHIMOVIC,YAMPA MKATABA WA MWAKA MMOJA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Manchester United imethibitisha kumsajili kwa mara nyingine mshambulizi Zlatan Ibrahimovic.
Zlatan aliumia na kuamua kuondoka United, lakini imethibitishwa kuwa amerejea tena Old Trafford na sasa ni shetani mwekundu tena. Wakati wa msimu wa 2016-17, mshambulizi huyo raia wa Sweden aliichezea Man United mechi 46 na kufunga mabao 28 kabla ya kuumia.
Taarifa zinaeleza, safari hii Man United watampa jezi namba 10 iliyokuwa ikivaliwa na Wayne Rooney aliyehamia Everton.
Hivi karibuni, baada ya kupona, Zlatan alirejea katika viwanja vya mazoezi vya Man United na kuonekana kuwa sasa yuko fiti.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger