• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, August 15, 2017

Home > > Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

at 12:48 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo na mafuriko katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown, imeongezeka na kufikia zaidi ya watu mia tatu.

Inaofiwa kwamba miili zaidi iko chini ya vifusi.
Jitihada za kuokoa zilisitishwa kwa muda baada ya giza kuingia.

 Madhara yaliyosababishwa na mvua nyingi

  • Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda
  • Peru yatoa tahadhari kufuatia mvua kubwa
  • Mafuriko yasababisha shule zote kufungwa Zanzibar
Rais Ernest Bai Koroma amesema kupitia televisheni kwamba vituo vya dharura vimewekwa ili kukabiliana na kile alichokiita janga la taifa.

Shirika la Msabala mwekundu limesema inakadiriwa zaidi ya watu laki tatu wamepoteza makazi yao.

Eneo lililoathirika zaidi wilaya ya Regent iliyopo pembezoni mwa mji wa Freetown baada ya mlima uliojaa maji kuporomoka.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Wataalamu: Iraq bado ina changamoto
    Iraq bado ina changamoto nyingi licha ya ushindi wa majeshi yake dhidi ya kundi la wapiganaji wanaojiita Dola la Kiislamu, IS, ilioup...
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA HIFADHI YA MAZINGIRA ASILIA ULUGURU
    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ard...
  • Jaribio la Korea Kaskazini lashtua dunia
    Waziri wa ulinzi wa Marekani James Mattis amesema Marekani itajibu kwa njia mbali mbali kitisho chochote kutoka kwa Korea Kaskazini ...

Popular Posts

  • Wataalamu: Iraq bado ina changamoto
    Iraq bado ina changamoto nyingi licha ya ushindi wa majeshi yake dhidi ya kundi la wapiganaji wanaojiita Dola la Kiislamu, IS, ilioup...
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA HIFADHI YA MAZINGIRA ASILIA ULUGURU
    KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA HIFADHI YA MAZINGIRA ASILIA ULUGURU
    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ard...
  • Jaribio la Korea Kaskazini lashtua dunia
    Waziri wa ulinzi wa Marekani James Mattis amesema Marekani itajibu kwa njia mbali mbali kitisho chochote kutoka kwa Korea Kaskazini ...
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...
  • WALIOSOMA KILAKALA SEKONDARI WACHANGISHANA FEDHA , WAKARABATI JENGO LA ZAHANATI , WANUNUA SHUKA NA MAGODORO , MADAFTARI
    WALIOSOMA KILAKALA SEKONDARI WACHANGISHANA FEDHA , WAKARABATI JENGO LA ZAHANATI , WANUNUA SHUKA NA MAGODORO , MADAFTARI
    WAHITIMU waliosoma Shule ya Sekondari  Kilakala   , iliyopo mkoani Morogoro wameombwa kujitokeza kuunga mkono mpango wa Serikali wa...
  • MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA KUWAIT MHANDISI YOUSEF AL FOZAN AWASILI NCHINI KUSAINI MAKUBALIANO YA USAFIRI WA ANGA NA TCAA.
    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan , maoja na msafara wake wakiwasili kwenye uwanja wa...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger