• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, August 15, 2017

Home > > Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

at 12:48 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo na mafuriko katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown, imeongezeka na kufikia zaidi ya watu mia tatu.

Inaofiwa kwamba miili zaidi iko chini ya vifusi.
Jitihada za kuokoa zilisitishwa kwa muda baada ya giza kuingia.

 Madhara yaliyosababishwa na mvua nyingi

  • Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda
  • Peru yatoa tahadhari kufuatia mvua kubwa
  • Mafuriko yasababisha shule zote kufungwa Zanzibar
Rais Ernest Bai Koroma amesema kupitia televisheni kwamba vituo vya dharura vimewekwa ili kukabiliana na kile alichokiita janga la taifa.

Shirika la Msabala mwekundu limesema inakadiriwa zaidi ya watu laki tatu wamepoteza makazi yao.

Eneo lililoathirika zaidi wilaya ya Regent iliyopo pembezoni mwa mji wa Freetown baada ya mlima uliojaa maji kuporomoka.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • TAARIFA YA KIFO CHA MZEE FRANCIS MAIGE KANYASU
                           
  • MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 11,2017
     
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...

Popular Posts

  • TAARIFA YA KIFO CHA MZEE FRANCIS MAIGE KANYASU
    TAARIFA YA KIFO CHA MZEE FRANCIS MAIGE KANYASU
                           
  • MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 11,2017
    MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 11,2017
     
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...
  • Upasuaji wa Samatta wamalizika aalama
    Ni taarifa njema kwa watanzania wote hususan wadau wa soka kwamba, nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta upas...
  • YALIYOJILI KATIKA MKUTANO WA PILI WA MWAKA WA NCHI 7 ZA AFRIKA MASHARIKI ZILIZO KATIKA MAPAMBANO YA KUTOKOMEZA TRAKOMA JIJINI ARUSHA
    YALIYOJILI KATIKA MKUTANO WA PILI WA MWAKA WA NCHI 7 ZA AFRIKA MASHARIKI ZILIZO KATIKA MAPAMBANO YA KUTOKOMEZA TRAKOMA JIJINI ARUSHA
    Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kupambana na Trakoma (ITI) akizungumza na washiriki wa mkutano wa pili wa mwaka wa nchi 7 z...
  • DC IGUNGA HAITIMISHA ZOEZI LA KUPOKEA MBEGU BORA  KUTOKA COSTECH-OFAB
    DC IGUNGA HAITIMISHA ZOEZI LA KUPOKEA MBEGU BORA KUTOKA COSTECH-OFAB
      Wakulima wa Kijiji cha Igogo wanaunda Kikundi cha Imala Makoye katika Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora wakiwa wameshika mb...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger