TRA

TRA

Saturday, August 12, 2017

ZIARA YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA WILAYANI KALIUA MKOA WA TABORA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akimpa pesa mwakilishi wa kwaya ya Viumbe wote kiasi cha shilingi laki moja na nusu kama sehemu ya mchango jana, Ulyankulu, Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora leo, mara baada ya kumaliza kuwahutubia wananchi hao kwenye moja ya ziara yake Mkoani humo. ( Picha na Raymond Urio )
 Mbunge wa Manonga na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora, Seif Khamis Gulamali ( katikati ) akimpa zawadi ya asali Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa mara baada ya kumaliza kuwahutubia wananchi wa Wilaya ya Kaliua Mkoa wa Tabora jana katika Viwanja vya Kolimba. ( Picha na Raymond Urio )
 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kitongoji cha Mnange leo katika Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora jana, katika moja ya ziara zake Mkoani humo. ( Picha na Raymond Urio )
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akimsalimia Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Magdalena Sakaya, mara baada ya kumaliza mkutano wa kuwahutubia wananchi kwenye Viwanja vya Kolimba Wilaya ya Kaliua Mkoa wa Tabora jana, katika moja ya ziara zake mkoani humo. ( Picha na Raymond Urio )

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger