TRA

TRA

Friday, September 1, 2017

Waislam kote duniani waadhimisha sherehe za Eid al-Adha

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Waislam kote duniani wanasherehekea sherehe za Idd al-Adha, zinazofanyika wakati wa Hija inayofanyika kila mwaka mjini Mecca.

Manila, Ufilipino : Mvulana mdogo anaonekana akiwa amesimama katika umati wa waumini katika ibada ya Eid al-Adha

Sherehe hiyo ambayo pia hufahamika kama sherehe ya kutoa kafara, ni moja kati ya sherehe kubwa za kiislam.

Ni kumbu kumbu ya kujitolea kwa utashi kwa Abraham kumtoa kafara mwanae kwa Mungu na wakati wa sherehe hii waislam hutoa kafara wanyama.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger