Naibu Kamishna Ronaldo Vitiello,ambaye pia ni mkuu wa doria katika mpaka wa Marekani amewaambia waandishi habari kwamba mikataba ya ujenzi wamepatiwa makampuni kutoka Alabama Arizona, Texas na Mississippi.
Inaelezwa kuwa gharama halisi za ujenzi huo zinakadiriwa kuwa hadi dola milioni unusu. Wakati wa kampeni zake rais Trump amesisitiza kwamba Mexico watalipa gharama ya ukuta huo. Sampuli hiyo ya ukuta itajengwa mjini San Diego, California.
CHANZO:BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment