Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe.
Paul Makonda akiongea machache wakati wa kuanza kwa hafla ya ufunguzi
wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT)
katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini
Dar es salaam jana
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala
za Mitaa Tanzania (ALAT) Bw. Gulma Hafeez Muccadam akisoma risala yao
mbele ya Rais Dkt magufuli wakati wa kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa
Mkutano Mkuu wa 33 wa katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius Nyerere jijini Dar es salaam jana.
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Suleiman Jaffo
mbele ya Rais Dkt magufuli wakati wa kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa
Mkutano Mkuu wa 33 wa katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu Mhe Kassim majaliwa
akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli kufungua wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa
Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akifungua wa Mkutano Mkuu wa 33 wa
Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na meza kuu wakipata picha ya
kumbukumbu na wadau wa maendeleo na wafadhili wakuu wa Mkutano Mkuu wa
33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) baada ya kuufungua
katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini
Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mkurugenzi Mtendaji
wa benki ya NMB Bi. Ineke Bussemaker baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa
33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa
Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Makamu Mwenyekiti wa ALAT
Bw. Stephen Mhapa baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya
Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa
wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Mstahiki Meya wa Dar es
salaam Mhe. Isaya Mwita Baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya
ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akifurahia ngoma ya Kigogo wakati
akiwasili kufungua Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa
Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akitembelea banda la benki ya NMB na
mabanda mengine kabla ya kufungua wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya
Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa
wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam
PICHA NA IKULU
SHARE
No comments:
Post a Comment