Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari
(katikati) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery
Chamulungu wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi ofsini hapo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).Hamza Johari (watatu
kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery
Chamulungu (watatu kutoka kulia) wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi
ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam. Wengini ni
maofsa wa mamlaka hiyo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari
(KUSHOTO)akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uongozaji ndege na
Huduma za ufundi , Bw. Nyello Abeid ,wakati wa kumkalibisha rasmi
kuanza kazi TCAA.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akiwa
katika kikao na menejimenti ya Mamlaka hiyo mara baada ya kukaribishwa
rasmi kuanza kazi Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza Johari akiwa rasmi
ofini kwake kuanza majukumu yake kama Mkurugenzi Mkuu TCAA ,baada ya
kukaribishwa rasmi TCAA.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akipokea
Shada la maua kutoka kwa mmoja wa wafanyaakzi wa Mamlaka hiyo
,Evelyne Ngachengo ,wakati alipokuwaakikaribishwa na wafanyakazi wenzake
rasmi kuanza kazi ,rasmi ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar
es Salaam
SHARE
No comments:
Post a Comment