Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es
Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga mara baada ya
kuwasili katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.
Msafara
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
ukielekea Dodoma kutokea mjini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment