Meneja wa
Huduma za Masoko Tigo, Olivier Prentout (kushoto) akiongea na
wanahabari wakati wa kusaini mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati
ya kampuni ya simu za mkononi ya Tigo na Mgahawa wa Samaki samaki. Kulia
ni Afisa Mkuu wa Maendeleo wa Mgahawa Samaki samaki, Saum Wengert.
Meneja wa
Huduma za Masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Olivier
Prentout (kushoto) akiwa na Afisa Mkuu wa Maendeleo wa Mgahawa wa Samaki
samaki, Saum Wengert wakionyesha mkataba wa ushirikiano wa kibiashara
waliosaini kati ya kampuni ya Tigo na Mgahawa huo kwa waandishi wa
habari jana jijini Dar Es salaam. (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment