Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwa
ameongozana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Jumanne Maghembe
wakielekea Bungeni kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 23 Mei, 2016
mjini Dodoma.
Mbunge
wa Nkasi Kaskazini, Mhe. Ally Keissy akiwasili viwanja vya Bunge mjini
Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini
Dodoma.
Naibu
Waziri, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, Mhe. Eng. Edwin
Ngonyani akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani
ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu
Waziri, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Eng. Hamad Masauni
(kushoto) akiwa ameongozana na Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mhe. Halima
Bulembo wakiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani
ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu
Waziri, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Mhe. Hamis Kingwangalla akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma
kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
SHARE
No comments:
Post a Comment