Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akimkabidhi msaada wa magodoro 100
Kamishna Msaidizi wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar Omar Salum Mgaza. hafla
hiyo imefanyika katika viwanja vya Mafunzo Kilimani Zanzibar.
Baadhi
ya magodoro 100 yaliotolewa msaada na PBZ kwa ajili ya matumishi ya
Wanafunzi wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar, ikiwa ni kusherehekea miaka 50
ya PBZ Zanzibar. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Chuo cha
Mafunzo Kilimani Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ akizungumza na Maofisa wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar
wakati wa kikabidhi msaada wa magodoro kwa ajili ya Wanafunzi wa Chuo
cha Mafunzo Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mafunzo
Kilimani Zanzibar.
Kamishna
Msaidizi wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar Omar Salum Mgaza akitowa shukrani
kwa PBZ kwa msaada wao huo wa magodoro umeletwa wakati muafaka na
kuwata taasisin nyengine kujitokeza kutoa misaada.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg.Juma Ameir akisalimiana na Muuguzi Dhamana wa
Hospitali ya Kidongochekundu Zanzibar Ndg. Haji Vuai Hilal, wakati
walipofika katika hospitali hiyo ya Mental kutowa misaada ya mashuka 200
kwa ajili ya hospitali hiyo. katikatika Afisa Masoko wa PBZ Ndg.
Mohammed Nuhu.
Afisa
Masoko wa PBZ Ndg Mohammed Nuhu akisalimiana na Muuguzi Dhamana wa
Hospitali ya Mental Kidongochekundu Zanzibar Haji Vuai Hilal.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Juma Ameir akizungumza na Uongozi wa Hospital ya Mental
Kidongochekundu Zanzibar wakati wa kutembelea hospitali hiyo na kutoa
msaada wa mashuka 200 ikiwa ni kusherehekea miaka 50 ya PBZ Zanzibar
hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya hospitali hiyo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akikabodhi msaada wa mashuka kwa ajili
ya hospitali ya Mental Kidogochekundu Zanzibar akipokea msaada huo
Muuguzi Dhamani wa hospitali hiyo Ndg Haji Vuai Hilal. ikiwa ni
kusherehekea miaka 50 ya PBZ kushaidia jamii Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akikabodhi msaada wa mashuka kwa ajili
ya hospitali ya Mental Kidogochekundu Zanzibar akipokea msaada huo
Muuguzi Dhamani wa hospitali hiyo Ndg Haji Vuai Hilal. ikiwa ni
kusherehekea miaka 50 ya PBZ kushaidia jamii Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg. Juma Ameir akimkabidhi mmoja wa mgonjwa katika
hospitali hiyo Bi Amina Mwinyi msaada wa tende kwa ajili yao katika
kipindi hichi cha mfungo wa mwezi wa ramadhani.
Mmmoja
wa mgonjwa katika hospitali Bi Amina Mwinyi, hiyo akitowa shukrani kwa
niaba ya wezake kwa uongozi wa PBZ kwa msaada wao huo kwao na kuuthamini
na kuwataka na Wananchi wengi kujitokeza kuwasaidia kwa vitu
mbalimbali.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg. Juma Ameir akikabidhi msaada wa tenda mmoja wa
wagonjwa wa hospitali hiyo Ndg. Mrisho Idrisa Hussein.
Muuguzi
Dhamana wa Hospitali ya Mental Kidongochekundu Zanzibar Ndg Omar Vuai
Hilal akitowa shukrani kwa Uongozi wa PBZ na Wafanyakazi wao kwa msaada
wao huo katika hospitali hiyo.
Wafanyakazi
wa PBZ wakijumuika na Mkurugenzi Mtenda wa PBZ Ndg Juma Ameir katika
kutoa huduma kwa wateja ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha miaka 50 ya
PBZ tangu kuazishwa kwa benki hiyo wakiwa katika Tawi la Malindi
Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Juma Ameir akitowa huduma kwa
Wateja wa PBZ katika tawi la PBZ Malindi, Pbz imetimisha miaka 50 tangu
kuazishwa kwa kwake Zanzibar.
Wateja wa PBZ wakipita huduma za Kibenki katika Tawi la PBZ Malindi Zanzibar.
Meneja
wa Benki ya Watu wa Zanzibar Tawi la Malindi akitowa huduma kwa wateja
wao akiwa na Afisi wa PBZ wakati wa shamrashamra za kusherehekea miaka
50 ya PBZ Zanzibar.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akitowa zawadi kwa Wateja wa PBZ ikiwa
ni shamrashamra za kusherehekea miaka 50 ya PBZ kuazisha kutowa huduma
za Kibenki Zanzibar.
Wateja wa PBZ wakiwa katika Tawi la Malindi Zanzibar wakisubiri kupata huduma za Kibenki katika tawi hilo.
Wateja wakipatya huduma katika Benki hiyo Tawi la Malindi Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ akitowa zawadi kwa wateja wa PBZ Tawi la Malindi Zanzibar.
Mteja
wa PBZ Zanzibar akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na huduma
za Kibenki, wakati wa shamrashamra hizo za kusherehekea miaka 50 ya PBZ
na kuwataka kuboresha zaidi huduma zao kwa wateja.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ akizungumza na waandishi wa habari malengo na
changamoto za PBZ kwa wateja wake na malengo yao kutowa huduma kwa
Wateja wao na kuboresha zaidi huduma zao.
Afisa
wa PBZ Tawi la Mwanakwerekwe Zanzibar Ndg Jaha akitowa huduma za kibenki
kwa Wateja wao katika tawi hilo PBZ inatimiza miaka 50 tangu kuazishwa
kwake.
Afisa
Manunuzi wa PBZ Bi Mwanaidi Ramadhani akitowa huduma za Kibenki kwa
Wateja wa PBZ Tawi la Mwanakwerekwe Zanzibar, Maofisa wa PBZ wameungana
na wafanyakazi wa Matawi la PBZ kutowa Huduma za Kibenki kuadhimisha
miaka 50 ya PBZ tangu kuazishwa kwake.
Meneja
wa PBZ Tawi la Mwanakwerekwe Zanzibar akitowa huduma za Kibenki kwa
Wateja wa PBZ ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea miaka 50 ya PBZ
Zanzibar.
Meneja
wa PBZ Tawi la Mwanakwerekwe Zanzibar akizungumza na waandishi wa
habari wakati wa shamrashamra za kutimia miaka 50 ya PBZ Zanzibar.
Afisa
manunuzi wa PBZ Bi Mwanaidi Ramadhani akitoa zawadi kwa Wateja wa PBZ
Tawi la Mwanakwerekwe Zanzibar ikiwa ni kuadhimisha miaka 50 ya PBZ
tangu kuazishwa kwake mwaka 1966-2016
Mteja
wa PBZ akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na huduma za PBZ ni
nzuri na kuwataka kuziboresha zaidi katika kipindi kijacho kwa wateja
wao na kuwataka kuongeza huduma na ATM na kuziboresha zaidi huduma hizo
kuwafikia hadi wananchi wa vijiji kupata huduma hii ya ATM huko
mashamba.
Imetayarishwa na OthmanMapara.
Zanzinews.com
SHARE
No comments:
Post a Comment