TRA

TRA

Sunday, July 3, 2016

JAJI MKUU ATEMBELEA BANDA LA GLOBAL LINK EDUCATION VIWANJA VYA SABASABA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Jaji Mkuu , Othman Chande, akiwasili Viwanja vya maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu , Othman Chande akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu ,Othman Chande akiongozwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipokuwa akitembelea kuangalia huduma mbalimbali kwenye Banda hilo jinsi Wananchi wanavyoweza kujiunga na vyuo vya nje ya nchi, wakati akiwa katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu Othman Chande, akioneshwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
Jaji Mkuu Othman Chande, akioneshwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
Jaji Mkuu , Othman Chande, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel alipotembelea banda hilo
Sehemu ya wananchi wakipata huduma katika banda hilo la Global Link Education.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger