TRA

TRA

Saturday, July 2, 2016

POLISI, WANANCHI RASMI KATIKA MAPAMBANO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



J1
Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille akiongea na viongozi wa kata ya Moivaro tarafa ya Suye pamoja na askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi wakati wa uzinduzi wa vikundi vinne vya kata hiyo.
J3
Diwani wa kata ya Moivaro Rick Moiro akiongea na askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi toka kwenye baadhi ya mitaa ya kata yake mara baada ya uzinduzi wa vikundi hivyo.
J2
 Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille akiwakagua askari wa vikundi vya ulinzi shirikishi kutoka mitaa ya Ngurumausi, Oldonyommasi, Moivaro Kati na Shangarao.
J4
Baadhi ya viongozi wa kata ya Moivaro pamoja na askari wa vikundi vipya vya ulinzi shirikishi wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha (SSP) Emmanuel Tille hayupo pichani.(P.T)
Read more...

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger