TRA

TRA

Tuesday, July 5, 2016

TANAPA WAFUNGUA OFISI JIJINI DAR ES SALAAM

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Ofisi ya TANAPA jijini Dar es Salaam.
(Picha na Francis Dande)
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ofisi za TANAPA jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (katikati), akikata
utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Tanapa jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi.
Baadhi ya wadau wa sekta ya Utalii wakiwa katika hafla hiyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (katikati), akikata  utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Tanapa jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi. 
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (katikati), akikata  utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Tanapa jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi akiangalia ofisi mpya ya TANAPA iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi. 
Kuangalia ofisi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi (kushoto), akifafanua jambo wakati Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (kulia) alipokuwa akikagua Ofisi ya Tanapa zilizopo jijijini Dar es Salaam. 
Chumba cha mikutano.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi (kulia), akifafanua jambo wakati Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi (kushoto). 
Jengo la Ofisi za TANAPA zilizopo Dar es Salaam.

AMOTEL IS THE FIRST LINSENCED MVNO STARTS OPERATIONS IN RURAL TANZANIA





Deputy Minister for Works, Transports & Communications, Hon. Eng. Ngonyani cutting A ribbon to officiate the launch of AMOTEL in Mwanga district. From the left is Board Chairman of AMOTEL, Professor Robert Mabele while on the right is Dr. Eng. Maria Sasabo-the deputy Permanent Secretary for Ministry of Works, Transports & Communications assisting the guest of honour to grace the official launch of AMOTEL as an MVNO with a network code “063” which serves the underserved villages under UCSAF’s projects. 

A cross section of villagers who are the direct beneficiary of AMOTEL’s launch following up the ceremony of AMOTEL’s operations in Mwanga district. The event was graced by the Deputy Minister for Works, Transports & Communications. The direct beneficiary villages are; namely, Ngujini, Songoa and Chanjale villages .

A cross section of villagers who are the direct beneficiary of AMOTEL’s launch following up the ceremony of AMOTEL’s operations in Mwanga district. The event was graced by the Deputy Minister for Works, Transports & Communications. The direct beneficiary villages are; namely, Ngujini, Songoa and Chanjale villages 


The Guest of Honour signing the guests book at the district’s commissioner’s office to officiate the launch of AMOTEL’s rural telephony in Mwanga district. Sitting close to the guest of honour is the Board Chairman of AMOTEL, Prof. Robert Mabele. Others from left is Acting DC Mwanga, next is Eng. Peter Ulanga-CEO , UCSAF. Then, followed by Eng. Brown Japhet, the TTCL-Regional Manager Kilimanjaro. While others from right is Dr. Eng. Maria Sasabo-Deputy Permanent Secretary in the Ministry for Works, Transports & Communications. Then is followed by the TCRA-Northern Zone Office and the last is the Acting DED-Mwanga.

Mr. Philemon Mangu, the AMOTEL’s Chief Technical Officer (CTO) explaining to the guest of honour, Eng. Ngonyani somewhere inside the village of Ngujini-Kisangara Juu in Mwanga district. Standing in the middle is Eng. Peter Ulanga listening attentively to AMOTEL’s CTO. Behind is Retired Judge of the Court of Appeal of Tanzania, Hon. January Msofe who is a widely respected elder of Ngujini village and Mwanga district in general. 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger