Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza
waombolezaji katika hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani
na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es
salaam. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Mze Benjamin Mkapa, Makamu wa Rais
Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Frederick
Sumaye Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mama Salma Kikwete
jana Novemba 10, 2016 PICHA NA IKULU
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji Kaka
wa marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji
mjane wa marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji
mtoto wa marehemu, Jimmy Mungai, baada ya kutoa heshima zake za mwisho
kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai
katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimfariji
mtoto wa marehemu William Mungai marehemu baada ya kutoa heshima zake za
mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph
Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Novemba 10,
2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wanafamilia
baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa
Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar
es salaam jana Novemba 10, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wanafamilia
baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Waziri wa
Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar
es salaam jana Novemba 10, 2016
Sehemu ya
familia ya aliyekuwa Waziri wa Zamani na Mbunge Mzee Joseph Mungai
katika hafla ya kuuaga mwili wa marehemy katika ukumbi wa Karimjee
jijini Dar es salaam jana Novemba 10, 2016 (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment