TRA

TRA

Saturday, March 18, 2017

KIKAO CHA UPITIAJI/UHAKIKI WA MIPANGO KABAMBE YA AFYA YA MWAKA 2017/18 CHAFANYIKA MJINI DODOMA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya , Dkt Zainabu Chaula akizungumza na  baadhi ya wajumbe wa timu za uendeshaji wa huduma za afya,waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa na Mikoa nchini juu ya Upitiaji/Uhakiki wa Mipango Kabambe ya Afya ya mwaka 2017/18 kwa kuhusisha ngazi za Mikoa, Halmashauri na Wizara ,Mjini Dodoma. 
 Naibu Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya , Dkt Zainabu Chaula akiwaonyesha  Ilani ya Uchaguzi baadhi ya wajumbe wa timu za uendeshaji wa huduma za afya,waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa na Mikoa nchini juu ya Upitiaji/Uhakiki wa Mipango Kabambe ya Afya ya mwaka 2017/18 kwa kuhusisha ngazi za Mikoa, Halmashauri na Wizara ,Mjini Dodoma. 
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya, Dkt Zainabu Chaula akizungumza na  baadhi ya wajumbe wa timu za uendeshaji wa huduma za afya,waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa na Mikoa nchini juu ya Upitiaji/Uhakiki wa Mipango Kabambe ya Afya ya mwaka 2017/18 kwa kuhusisha ngazi za Mikoa, Halmashauri na Wizara ,Mjini Dodoma.
 Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Huduma za Afya   Idara ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OR-TAMISEMI), Dkt Anna Nswira  akizungumza na  baadhi ya wajumbe wa timu za uendeshaji wa huduma za afya,waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa na Mikoa nchini juu ya Upitiaji/Uhakiki wa Mipango Kabambe ya Afya ya mwaka 2017/18 kwa kuhusisha ngazi za Mikoa, Halmashauri na Wizara ,Mjini Dodoma.
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya ,Dkt Doroth Gwajima  akizungumza na  baadhi ya wajumbe wa timu za uendeshaji wa huduma za afya,waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa na Mikoa nchini juu ya Upitiaji/Uhakiki wa Mipango kabambe ya Afya ya mwaka 2017/18 kwa kuhusisha ngazi za Mikoa, Halmashauri na Wizara ,Mjini Dodoma.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger