Waziri wa Maliasili na Utalii,
Profesa Jumanne Maghembe (kulia) akikaribishwa na Mkuu wa Masoko wa
kampuni ya Direct Pay Online, Kate Gathii (kushoto) alipotembelea banda
la kampuni hiyo ambao ni platnimu sponsor wa maonesho ya Utalii na
Viwanda ya Kili Fair yaliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika
Moshi kuanzia tarehe 2 June. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Mkuu
wa kampuni hiyo,Eran Feinsten,wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii
Tanzania (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo na Mkuu wa wilaya ya Moshi, Kippi
Warioba.
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Profesa Jumanne Maghembe (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji Mkuu
wa kampuni ya Direct Pay Online Group,Eran Feinsten (kushoto) akionesha
namna wanavyotumia mfumo wa mawasiliano kutuma na kupokea fedha katika
banda la kampuni hiyo katika maonesho ya Utalii na Viwanda ya Kili Fair
yalioyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Ushirika Moshi kuanzia tarehe 2
mpaka tarehe 4 Juni. Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya
Utalii (TTB)Jaji Mstaafu Thomas Mihayo na Mkuu wa wilaya ya Moshi, Kippi
Warioba.
Waziri wa Maliasili na
Utalii,Profesa Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza na maafisa wa
kampuni ya Direct Pay Online, Kate Gathii (kushoto) ambaye ni Mkuu wa
Masoko na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Eran Feinsten (wa
pili kushoto) alipotembelea banda la kampuni hiyo katika maonesho ya
Utalii na Viwanda ya Kili Fair yaliyofanyika uwanja wa Chuo cha
Ushirika Moshi kuanzia tarehe 2 Juni, wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya
Utalii (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo na Mkuu wa wilaya ya Moshi,
Kippi Warioba
SHARE
No comments:
Post a Comment