TRA

TRA

Wednesday, June 7, 2017

Uchumi wa Afrika Kusini washuka

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Uchumi wa Afrika Kusini umeshuka katika robo ya kwanza ya mwaka 2017 na kusababisha ustawi wa taifa hilo lenye nguvu barani Afrika kudorora kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2009.
Ukosefu wa ajira pia ukiwa umeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea kwa miaka 14, Rais Jacob Zuma anajikuta katika shinikizo

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger