Polisi mmoja
mwanamke amepigwa risasi kichwani wakati mwamamume mmoja alipompokonya
bunduki yake katika kituo kimoja cha treni mjini Munich.
Polisi walimpiga risasi na kumjeruhi mshambuliaji ambaye sasa yuko kizuizini. Polisi wanasema kuwa hakikuwa kisa cha ugaidi.
Oparesheni kubwa ya polisi inaendelea na huduma za usafiri wa reli zimesitishwa
Watu waliokuwa kando pamoja na mshukuwa hakujeruhiwa vibaya
Polisi wanasema kuwa hakuna hatari yoyote kwa umma
SHARE
No comments:
Post a Comment