Klabu ya Manchester City imekubali kumnunua beki wa kushoto wa Monaco Benjamin Mendy kwa kitita cha pauni milioni 52.
Beki wa kushoto Benjamini Mendy
Kitita hicho kitakipiku kile kilichotolewa na City kumnunua beki wa kulia Kyle Walker mapema mwezi huu pamoja na kile kilichotumiwa kumnunua John Stone msimu uliopita.
City haijathibitisha makubaliano hayo lakini inaamini kwamba kitita fulani kimekubaliwa.
SHARE









No comments:
Post a Comment