TRA

TRA

Friday, August 11, 2017

Liverpool yagoma kumuuza Philippe Coutinho

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Liverpool wamekataa ombi la Barcelona la kutaka kumnunua mchezaji raia wa Brazil Philippe Coutinho kwa kima cha pauni milioni 90.

Hili ndilo ombi la pili kutolewa na Barcelona baada ya lile la kwanza la pauni milioni 72 kukataliwa.

Liverpool wamesisitiza kuwa Coutinho ambaye alijiunga nao kutoka Inter Milan mwaka 2013 kwa pauni milioni 8.5 hauzwi.
 Liverpool yakataa kumuuza Philippe Coutinho kwa Barcelona
Barcelona walimuuza mshambuliaji wake Neymar kwenda St-Germain kwa kima cha pauni milioni 200 wiki iliyopita.

Coutinho ambaye alifunga mabao 14 msimu uliopita alikaa muda wa wiki sita kutokana na jeraha, alisaini mkataba wa miaka mitano mwezi Januari.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger