Rais wa Marekani
Donald Trump na rais wa Korea Kusini wamezunguzma kwa njia ya simu kwa
mara ya kwanza suala kuu likiwa ni majaribio ya hivi karibuni ya sialaha
za nyuklia za Korea Kaskazini.
RAIS DONALD TRUMP
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa waziri mkuu wa Korea Korea Kaskazini naye amefanya mazungumzo na waziri mwenziwe kutoka Korea Kusini kwenye mkutano wa masuala ya usalama nchini Philippines, na kunukuliwa akisema Souls imetoa nafasi nyingine ya mazungumzo mapya.
CHANZO: BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment