TRA

TRA

Saturday, August 5, 2017

MASHAUZI CLASSIC WALIVYOKAMUA NEFALAND USIKU WA KUAMKIA LEO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Usiku wa kuamkia leo Kundi la Mashauzi Classic lilifanya makamuzi pamoja na Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma kwenye Ukumbi wa Nefaland uliopo Manzese jijini Dar.
Kwenye onesho hilo lililoandaliwa na Bonga Promotion, mashabiki wa taarabu na dansi kila mmoja alipata kitu roho yake inapenda. Kwa uhondo zaidi anagalia picha.
Pedeshee Jamila Mascat, akimtakasa Prezidaa wa Ngwasuma, Patcho Mwamba baada ya kukunwa moyoni.
Mpiga tumba wa FM Academia, Kaposhoo akifanya manjonjo kwa mashabiki.
Wapenzi wa taarabu wakijimwaya.
Wazee wa Ngwasuma kazini.
Isha Mashauzi na vijana wake wakiwajibika.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger