• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, August 15, 2017

Home > > Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

Mvua kubwa yasababisha maafa Sierra Leone

at 12:48 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo na mafuriko katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown, imeongezeka na kufikia zaidi ya watu mia tatu.

Inaofiwa kwamba miili zaidi iko chini ya vifusi.
Jitihada za kuokoa zilisitishwa kwa muda baada ya giza kuingia.

 Madhara yaliyosababishwa na mvua nyingi

  • Mvua kubwa yasababisha uharibifu Rwanda
  • Peru yatoa tahadhari kufuatia mvua kubwa
  • Mafuriko yasababisha shule zote kufungwa Zanzibar
Rais Ernest Bai Koroma amesema kupitia televisheni kwamba vituo vya dharura vimewekwa ili kukabiliana na kile alichokiita janga la taifa.

Shirika la Msabala mwekundu limesema inakadiriwa zaidi ya watu laki tatu wamepoteza makazi yao.

Eneo lililoathirika zaidi wilaya ya Regent iliyopo pembezoni mwa mji wa Freetown baada ya mlima uliojaa maji kuporomoka.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • SHEREHE YA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (SAW), UNGUJA
      Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi mwenyek...
  • WENGI WAJIUNGA NA MFUMO WA ‘WOTE SCHEME’ WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KATIKA MAONESHO YA SABASABA
      Maafisa wa Mfuko wa PPF, wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda hilo kuhusu Mfumo wa ‘Wote Scheme’ katika maonesho ya 40 ...
  • DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    Watumishi wa afya 22 katika hospitali ya Kolandoto manispaa ya Shinyanga wamerudishwa kazini na mkuu wa wilaya ya Shinyanga...

Popular Posts

  • SHEREHE YA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (SAW), UNGUJA
    SHEREHE YA MAULIDI YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (SAW), UNGUJA
      Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi mwenyek...
  • WENGI WAJIUNGA NA MFUMO WA ‘WOTE SCHEME’ WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KATIKA MAONESHO YA SABASABA
    WENGI WAJIUNGA NA MFUMO WA ‘WOTE SCHEME’ WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KATIKA MAONESHO YA SABASABA
      Maafisa wa Mfuko wa PPF, wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda hilo kuhusu Mfumo wa ‘Wote Scheme’ katika maonesho ya 40 ...
  • DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    Watumishi wa afya 22 katika hospitali ya Kolandoto manispaa ya Shinyanga wamerudishwa kazini na mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
  • Korea Kaskazini yafyatua kombora anga ya Japan
    Korea Kaskazini yafyatua kombora anga ya Japan
    Korea Kaskazini imefyatua kombora la masafa marefu kupitia anga ya kisiwa cha Hokkaido nchini Japan.  Jeshi la Korea Kusini linasema ku...
  • Shirika la TTCL lazinduwa ‘Fiber Connect Bundle’
    Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waz...
  • Lionel Messi ahukumiwa kwenda jela miezi 21
    ...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger