TRA

TRA

Monday, September 11, 2017

Alikiba azungumza kuhusu mnaosema kaiba wimbo wa ‘SEDUCE ME’

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 


Usiku wa September 9, 2017 Fiesta ilifanyika kwa mara ya kwanza Arusha katika msimu mpya wa 2017 ambapo wasanii mbalimbali walitumbuiza kwenye stage na miongoni mwao ni mwimbaji wa Bongofleva Alikiba ambaye alipata nafasi ya kuzungumza na Ayo TV na millardayo.com kuelezea kuhusu kudaiwa kuiba wimbo wa ‘Seduce Me’.
Alikiba amesema kuwa sio kweli kuhusu kudaiwa kuiba wimbo huo bali ni wimbo wake na hana tabia za kuchukua wimbo wa mtu huku akisema wimbo huo unafanya vizuri kwa kuwa ni mzuri.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger