Usiku wa
September 9, 2017 Fiesta ilifanyika kwa mara ya kwanza Arusha katika
msimu mpya wa 2017 ambapo wasanii mbalimbali walitumbuiza kwenye stage
na miongoni mwao ni mwimbaji wa Bongofleva Alikiba ambaye alipata nafasi
ya kuzungumza na Ayo TV na millardayo.comkuelezea kuhusu kudaiwa kuiba wimbo wa ‘Seduce Me’. Alikiba amesema kuwa sio kweli kuhusu
kudaiwa kuiba wimbo huo bali ni wimbo wake na hana tabia za kuchukua
wimbo wa mtu huku akisema wimbo huo unafanya vizuri kwa kuwa ni mzuri.
No comments:
Post a Comment