TRA

TRA

Monday, September 11, 2017

ARUSHA PRESS CLUB YATEMBELEA HIFADHI YA TARANGIRE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

 Mhifadhi katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire Beatrice Ntambi akizungumza na waandishi wa chama cha waandishi mkoani Arusha(APC)waliokwenda kutembelea  hifadhi hiyo kwa lengo la kujifunza na kutangaza utalii wa ndani
 Sehemu ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini
 Mratibu wa Arusha Press Club Seif Mangwangi akiorodhesha majina ya waandishi wanaoingia katika hifadhi ya Tarangire katika ziara ya mafunzo pamoja na kutangaza utalii wa ndani
 Picha ikionyesha fuvu la mnyama aina ya Tembo
 Sehemu ya makundi makubwa ya tembo wanaopatikana katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire
 Twiga wakionekana vizuri katika hifadhi ya Tarangire
 Tembo wakizunguka ndani ya hifadhi ya Tarangire
 Katika hifadhi hii utakuta  aina ya miti mikubwa ya mibuyu inayosadikika kuishi mamia ama maelfu ya miaka ambayo pia ni kivutio kikubwa katika hifadhi ya Tarangire
 Wanahabari wakichukua taswira katika hifadhi ya Tarangire
 Wanahabari wakichukua Selfiee kabla ya kuanza safari keelekea kujionea vivutio ndani ya hifadhi ya Tarangire

 Makundi ya Tembo yakiwa katika hifadhi ya Tarangire
Baadhi ya wanachama wa Arusha Press Club wakiwa katika picha ya pamoja katika lango la kuingilia katika hifadhi ya Taifa Tarangire
(Habari Picha na Pamela Mollel,Arusha)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger