• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Friday, September 1, 2017

Home > > Ni nini kinachofanyika ubongoni mwa mtu akipiga miayo

Ni nini kinachofanyika ubongoni mwa mtu akipiga miayo

at 3:59 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !







Unaweza kuwa unapiga miayo hivi sasa wakati ukisoma taarifa hii - ni wa kuambukiza.
Sasa watafiti wamekuwa wakichunguza kinachofanyika ubongoni ili kuchochea hali hiyo.

Timu ya watafiti katika Chuo kikuu cha Nottingham, imegundua kinachofanyika kwenye sehemu ya mwendo ndani ya ubongo wa binadamu.

Sehemu ya primary motor cortex pia inatumika pakubwa kwenye hali kama Tourette's syndrome, yaani kinachofanyika wakati mtu anapopatwa na ugonjwa wa neva.

Kupiga miayo mara kwa mara, ni dalili ya echophenomena - yaani namna ya kuiga maneno ya mtu mwingine matendo bila ya kujua.
Hali hii ya Echophenomena pia inaonekama katika Tourette's, pia katika hali ya mtu kuugua kifafa na tawahudi.

Ili kufanyia uchunguzi kile kinachofanyika ndani ya ubongo wa mtu wakati wa hali hiyo ya kupiga miayo, wanasayansi waliwachunguza watu 36 waliojitolea, huku wakiwachunguza wengine wakipiga miayio.

'Excitability' ni hali ya kuweza kusisimuliwa kufanya kitu sawa na anachofanya mtu mwingine.

Katika utafiti huo, ambao umechapishwa katika jarida la biolojia la Current Biology, baadhi yao waliambiwa kuwa ni sawa mtu kupiga miayo, ilihali wengine wakiambiwa kuzuia hali hiyo kufanyika au kukandamiza hamu.

Kwa ujumla, hamu ya kupiga miayo iliamuliwa kuwa ni namna kila motor cortex ya kila mtu inavyofanya kazi.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI(EAC)YAWAANDALIA HAFLA FUPI WAFANYAKAZI WAPYA JIJINI ARUSHA
      Baadhi ya wafanyakazi wapya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) wakiwa na furaha  katika hafla ya kuwaka...
  • Mbunge wa Jimbo la Mchinga atembelea wapigakura wake
    Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Hamidu Bobali akizungumza na wananchi wa Kitongoji cha Lichinji Kata ya Kilangala katika mkutan...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...

Popular Posts

  • JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI(EAC)YAWAANDALIA HAFLA FUPI WAFANYAKAZI WAPYA JIJINI ARUSHA
    JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI(EAC)YAWAANDALIA HAFLA FUPI WAFANYAKAZI WAPYA JIJINI ARUSHA
      Baadhi ya wafanyakazi wapya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) wakiwa na furaha  katika hafla ya kuwaka...
  • Mbunge wa Jimbo la Mchinga atembelea wapigakura wake
    Mbunge wa Jimbo la Mchinga atembelea wapigakura wake
    Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Hamidu Bobali akizungumza na wananchi wa Kitongoji cha Lichinji Kata ya Kilangala katika mkutan...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
    WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...
  • CHATO YATAKIWA KUSIMAMIA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
    CHATO YATAKIWA KUSIMAMIA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
    Mhandisi Robert Gabriel Lughumbi Mkuu wa Mkoa wa Geita amewataka Viongozi wa Serikali Wilayani Chato kusimamia na kufuatilia kwa ka...
  • SUMATRA PWANI YASISITIZA NAULI MBEZI -KIBAHA NI SH.500/MBEZI-MLANDIZI SH.1,600
    Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha MAMLAKA ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini (SUMATRA),mkoani Pwani ,imewaasa wamiliki wa mabasi...
  • JUMIA KUWAWEZESHA WATEJA KUFANYA MANUNUZI KWA PUNGUZO LA HADI ASILIMIA 70
    JUMIA KUWAWEZESHA WATEJA KUFANYA MANUNUZI KWA PUNGUZO LA HADI ASILIMIA 70
        Meneja   Mauzo wa Jumia Tanzania, Bw. Idd Mkumba , a kizungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio wa kampeni hiyo jijini Dar es sala...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger