• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Friday, September 1, 2017

Home > > Ni nini kinachofanyika ubongoni mwa mtu akipiga miayo

Ni nini kinachofanyika ubongoni mwa mtu akipiga miayo

at 3:59 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !







Unaweza kuwa unapiga miayo hivi sasa wakati ukisoma taarifa hii - ni wa kuambukiza.
Sasa watafiti wamekuwa wakichunguza kinachofanyika ubongoni ili kuchochea hali hiyo.

Timu ya watafiti katika Chuo kikuu cha Nottingham, imegundua kinachofanyika kwenye sehemu ya mwendo ndani ya ubongo wa binadamu.

Sehemu ya primary motor cortex pia inatumika pakubwa kwenye hali kama Tourette's syndrome, yaani kinachofanyika wakati mtu anapopatwa na ugonjwa wa neva.

Kupiga miayo mara kwa mara, ni dalili ya echophenomena - yaani namna ya kuiga maneno ya mtu mwingine matendo bila ya kujua.
Hali hii ya Echophenomena pia inaonekama katika Tourette's, pia katika hali ya mtu kuugua kifafa na tawahudi.

Ili kufanyia uchunguzi kile kinachofanyika ndani ya ubongo wa mtu wakati wa hali hiyo ya kupiga miayo, wanasayansi waliwachunguza watu 36 waliojitolea, huku wakiwachunguza wengine wakipiga miayio.

'Excitability' ni hali ya kuweza kusisimuliwa kufanya kitu sawa na anachofanya mtu mwingine.

Katika utafiti huo, ambao umechapishwa katika jarida la biolojia la Current Biology, baadhi yao waliambiwa kuwa ni sawa mtu kupiga miayo, ilihali wengine wakiambiwa kuzuia hali hiyo kufanyika au kukandamiza hamu.

Kwa ujumla, hamu ya kupiga miayo iliamuliwa kuwa ni namna kila motor cortex ya kila mtu inavyofanya kazi.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
      Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya...
  • Wakurugenzi watatu wajiuzulu kupinga ubaguzi
    Wakurugenzi watatu wa juu wamejiuzulu kutoka katika baraza la uchumi na uzalishaji la Ikulu ya Marekani, wakati rais Donald Trump aki...
  • WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    M...

Popular Posts

  • JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
    JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
      Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya...
  • Wakurugenzi watatu wajiuzulu kupinga ubaguzi
    Wakurugenzi watatu wa juu wamejiuzulu kutoka katika baraza la uchumi na uzalishaji la Ikulu ya Marekani, wakati rais Donald Trump aki...
  • WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    M...
  • RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA MAAFISA WA JESHI LA POLISI WALIOPANDISHWA VYEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM,AWATAKA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WANAOLETA MATATIZO
    RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA MAAFISA WA JESHI LA POLISI WALIOPANDISHWA VYEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM,AWATAKA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WANAOLETA MATATIZO
    Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Abdalla Khamis akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe...
  • Ufaransa: Waziri mkuu wa zamani Francois Fillon aongoza mbio za Urais
      Mojawapo ya vipaumbe...
  • WAFANYA BIASHARA WASIOTUMIA MASHINE ZA EFD WAFUNGIWA MADUKA NA TRA KARIAKOO
    WAFANYA BIASHARA WASIOTUMIA MASHINE ZA EFD WAFUNGIWA MADUKA NA TRA KARIAKOO
    Maafisa wa Mamalaka ya Mapato Nchini (TRA) wameendelea  kufanya zoezi la ukaguzi wa maduka ya wafanyabiashara wanaouza bidhaa zao...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger