TRA

TRA

Wednesday, September 6, 2017

RC Mwanza alivyoacha Ofisi na kukaa nje kuhudumia Wananchi

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella katika kuhakikisha anawahudumia wananchi wa Mwanza aliamua kutoka nje ya Ofisi yake na kusilikiza kero na matatizo ya wananchi waliofika Ofisi kwake huku akiahidi kuwafuata wananchi wa Wilaya ya Ilemela kutatua migogoro ya ardhi na matatizo mengine.
Aidha, RC Mongella pia ametoa agizo kwa Watendaji wote wa Idara ya Ardhi kutosafiri wala kwenda likizo ili kujibu shida za wananchi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger