Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella
katika kuhakikisha anawahudumia wananchi wa Mwanza aliamua kutoka nje ya
Ofisi yake na kusilikiza kero na matatizo ya wananchi waliofika Ofisi
kwake huku akiahidi kuwafuata wananchi wa Wilaya ya Ilemela kutatua
migogoro ya ardhi na matatizo mengine. Aidha, RC Mongella pia ametoa agizo kwa Watendaji wote wa Idara ya
Ardhi kutosafiri wala kwenda likizo ili kujibu shida za wananchi.
No comments:
Post a Comment