TRA

TRA

Wednesday, February 7, 2018

RAIS MTEULE WA ROTARY INTERNATIONAL AWASILI NCHINI TANZANIA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 


RAIS Mtarajiwa wa Rotary International, Barry Rassin (kushoto) na mkewe Esther (kulia) wakilakiwa na District Governor aliyemaliza muda wake, Bwana Kenneth Mugisha, District Governor Mtarajiwa, Sharmila Bhatt pamoja na viongozi mbalimbali wa baada ya kuwasili Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam Februari 5 2018, kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. Rais huyo atatembelea mradi wa 'Rotary Pediatric Oncology wodi iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, pia kupanda mti katika viwanja vya shule ya wasichana ya Jangwani hapo kwa lengo kuunga mkono mapinduzi ya kijani na utunzaji wa mazingira. #RIPEinD9211. (Picha na Robert Okanda Blogs)

 District Governor Mteule, Sharmila Bhatt akimpa muhtasari Rais Mteule wa Rotary International, Barry Rassin (kulia) alipowasili Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam Februari 5 2018, kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. Rais huyo atatembelea mradi wa 'Rotary Pediatric Oncology wodi iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, pia kupanda mti katika viwanja vya shule ya wasichana ya Jangwani hapo kwa lengo kuunga mkono mapinduzi ya kijani na utunzaji wa mazingira. Pamoja nao ni District Governor, Bwana Kenneth Mugisha. 
Baadhi ya viongozi wa Rotary Club wakiwa Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam Februari 5 2018, wakati wa kumpokea Rais Mteule wa Rotary International Bary Rassin kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. Rais huyo atatembelea mradi wa 'Rotary Pediatric Oncology wodi iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, pia kupanda mti katika viwanja vya shule ya wasichana ya Jangwani hapo kwa lengo kuunga mkono mapinduzi ya kijani na utunzaji wa mazingira.
Rais Mteule wa Rotary International, Barry Rassin (kulia) akikaribishwa Past District Governor Jayesh Asher alipowasili Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam Februari 5 2018, kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. Rais huyo atatembelea mradi wa 'Rotary Pediatric Oncology wodi iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, pia kupanda mti katika viwanja vya shule ya wasichana ya Jangwani hapo kwa lengo kuunga mkono mapinduzi ya kijani na utunzaji wa mazingira.





RAIS Mteule wa Rotary International, Barry Rassin (wa sita kulia) na mkewe Esther (kulia kwake)  wakiwa katika picha ya pamoja na District Governor aliyemaliza muda wake, Bwana Kenneth Mugisha (wa nne kushoto), District Governor Mtarajiwa, Sharmila Bhatt (wa tano kulia) pamoja na viongozi mbalimbali wa baada ya kuwasili Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. 
Na Mwandishi wetu
RAIS Mteule wa Rotary International, Barry Rassin amewasili nchini Tanzania jana na kulakiwa na wenyeji wake District Governor, Bwana Kenneth Mugisha, District Governor Mteule, Sharmila Bhatt pamoja na viongozi mbalimbali wa baada ya kuwasili Uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, kwa ziara ya siku mbili kutembelea miradi mbalimbali ya Rotary Clubs jijini. 
Rais huyo aliyetumikia Rotary Club kwa Takribani Miaka 37 amewasili na kujionea baadhi ya miradi inayofadhiliwa na Taasisi hiyo hapa nchini hususani kwa jiji la Dar es Salaam, ambapo atakutana na vijana wadogo wa Club hiyo' Rotaractors' na kubadilishana nao mawazo kuwahamasisha kujitolea na kufanya shuguli mbalimbali za kijamii ili kuleta maendeleo chanya kwa umma.
Rotary Club ina takribani matawi 38 ambapo nane kati ya hayo yapo Dar es Salaam. 
Rais Rassin anatokea Rotary Club ya Mashariki Nassau, Jimbo jipya la Nchini Bahamasi ambapo ni msomi wa taalum ya maswala ya afya na Utawala wa Tiba kutoka Chuo kikuu cha Florida Nchini Marekani. 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger