Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ametaka hukumu ya kifo kurejeshwa nchini humo.
Hukumu ya kifo ilitekelezwa mwisho nchini Zimbabwe mwaka 2005, wakati mtu ambaye alikuwa akiitekeleza kustaafu kwa mujibu wa shirika la AFP.
- Mugabe: Waliowaua wazungu hawatashtakiwa
- Mugabe: Upinzani hauninyimi usingizi
- Bi Mugabe amtaka mumewe kumtangaza ''mrithi'' wake
"Wacha turejeshe hukumu ya kifo, watu wanacheza na kifo kwa kuuana. Tunataka nchi iwe na amani na yenye furaha na sio nchi ambapo watu wanuana."
Zaidi ya wafungwa wamehukumiwa kifo, kwa mjibu wa ripoti za AP.
SHARE









No comments:
Post a Comment