TRA

TRA

Thursday, November 9, 2017

Uwanja mkuu wa ndege Zimbabwe wapewa jina la Rais Robert Mugabe

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Uwanja mkuu wa ndege nchini Zimbabwe umebadilishwa jina na kupewa rasmi jina la Rais Robert Mugabe.
Uwanja wa Kimataifa wa Harare sasa utaitwa uwanja wa Kimataifa wa Robert Mugabe.
Mtandao mmoja wa habari ulichapisha picha za sherehe hizo zilizofanyika mji mkuu Harare.


Barua kutoka kwa mamlaka za safari za ndege nchini humo kushauri kuhusu mabadiliko hayo ilisambatwa pakubwa kwenye mtandao wa Twitter mwezi Septemba
Mugabe, 93, ameitawala nchi hiyo tangu mwaka 1980.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger