TRA

TRA

Thursday, November 2, 2017

ZANTEL YATOA MSAADA WA MIAMVULI 60 KWA CHUO CHA USTAWI WA JAMII JIJINI DAR ES SALAAM

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

4c
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel, Jensen Msechu (kushoto) akisimika moja ya miamvuli iliyotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel kwa  Chuo cha Ustawi wa Jamii hivi karibuni jijini Dar es salaam.Jumla ya Miamvuli 60 ilitolewa kwa chuo hicho kwa lengo la kuwakinga jua wanafunzi wakati wa kujisomea wawapo chuoni hapo. Katikati ni Afisa Rasilimali watu Mwandamizi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Remidius Leonard na kulia ni Rais wa Wanafunzi, John Filimon.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Ustawi wa Jamii kilichopo eneo la Bamaga jijini Dar es salaam wakijisomea kwenye moja ya kizimba kilichosimikwa moja ya miamvuli iliyotolewa na Kampuni ya Mawasiliano ya Zantel hivi karibuni jijini Dar es salaam. Jumla ya miamvuli 60 ilitolewa kwa ajili ya kuwakinga jua Wanafunzi wa chuo hicho wakati wa kujisomea wawapo chuoni hapo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger