
Mweneyekiti
wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akipewa maelezo ya awali na Mkuu wa
mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, alipowasili kukagua daraja lla
Nyerere, jana Mei 10, 2016. Kulia ni Msemaji wa CCM, Christopher Ole
Sendeka.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili kukagua daraja la Nyerere, Dar es Salaam, jana

Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Joseph Nyamhanga,
akimpokea Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipowasili
kukagua daraja la Nyerere, Dar es Salaam, jana

Mwenyekiti
wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akizungumza na viongozi mbalimbali
waliompokea, kabla ya kukagua daraja la Nyerere, Dar es Salaam, jana

Mwenyekiti
wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akitazama barabara zinazopishana ya
chini na ya juu mwanzoni mwa daraja la Nyerere, alipokagua daraja hilo,
jana

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akitazama barabara
zinazopishana ya chini na ya juu mwanzoni mwa daraja la Nyerere,
alipokagua daraja hilo, jana

Msafara
wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ukipita kwenye daraja
la Nyerere kwenda Kigamboni, alipokagua daraja hilo jana

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu jakaya Kikwete akiangaza mandhari ya darala la Nyerere alipokagua daraja hilo jana.(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment