TRA

TRA

Sunday, June 12, 2016

Watu 50 wauawa Orlando, Marekani

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Watu 50 sasa wanajulikana kuuawa kwa kupigwa risasi wakati wa shambulizi lililotokea kwenye baa moja katika jimbo la Florida, na kuwa moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika historia ya Marekani.
Watu wengine 50 wako hospitalini. Vyombo vya habari vimemtambua mwanamme ambaye alitekeleza shambulizi hilo katika mji wa Orlando kuwa raia wa Marekani, Omar Mateen.
Omar Mateen, aliyefyatua risasi Orlando
Mwanamme huyo wa umiri wa miaka 29, alikuwa amejihami kwa bunduki mbili wakati alifyatua risasi katika baa ya Pulse siku ya Jumaosi
Aliwashika mateka karibu watu 30 kabla ya polisi kumpiga risasi na kumuua.BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger