Babalozi
kutoka nchi mbali mbali wakiwasha mishumaa wakiongozwa na Balozi wa
Rwanda nchini Tanzania Mhe. Eugene Kayihura kwenye maaadhimisho ya
Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari dhidi ya Watusi iliyofanyika leo katika
ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Saalam.
Balozi
wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura akiongozana na Waziri Mkuu
mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim wakati wakiwasili kwenye Ukumbi wa
Mlimani city Jijini Dar es salaam, kulikofanyika Maadhimisho
ya Kumbukumbu ya Mauaji wa Kimbari dhidi ya Watusi yaliyotokea miaka 23
iliyopita huko nchini Rwanda.
Balozi
wa Zimbabwe nchini Tanzania, Mhe Edzai Chimonyo akizungumza kwenye
maadhimisho ya Mauaji ya Kimbari yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

Balozi
wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura akizungumza kuhusu mauaji ya
Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda wakati wa maadhimisho ya miaka 23
yaliyofanyika leo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Waziri
Mkuu mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim akizungumza kwenye maadhimisho ya
miaka 13 ya mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyofanyika leo jijini
Dar es Salaam.
Nyimbo
za mataifa mawili Tanzania na Rwanda zikiimbwa wakati wa maadhimisho ya
miaka 23 ya Kimbali nchini Rwanda yaliyofanyika leo jijini Dar es
Salaam

Sheikh Hamis Mtonga akiomba dua wakati wa kuanza maadhimisho ya miaka 23 ya Kimbari ya nchini Rwanda leo.
SHARE
No comments:
Post a Comment