Naibu
Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia
Wambura akiongea na watumishi wa Wilaya ya Mkuranga wakati ya ziar ya
kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Wilayani humo, wa pili kutoka kulia na Mbunge wa jimbo la
Mkuranga Mh. Abdala Ulege na wa pili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya
Mkuranga Mh. Abdalla Kihato.
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura wa pili kutoka kulia akipokea taarifa ya utekelezaji wa kikundi cha Sanaa za maigizo kilichopo wilaya ya Rufiji Bw. Bashiru Kibopo wakati ya ziara ya kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Wilayani humo,wa pili kutoka kushoto ni Mbunge wa jimbo hilo Mh. Allyseif Ungando na wa kwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Rufiji Bi. Maria Katemana.
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura aliyenyoosha mkono akiongea na baadhi ya wasanii waliojenga katika kijiji cha Wasanii na wanahabari kilichopo Wilayani Mkuranga wakati ya ziara aliyofanya ya kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Wilayani humo.
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura wa pili kutoka kulia akipokea taarifa ya utekelezaji wa kikundi cha Sanaa za maigizo kilichopo wilaya ya Rufiji Bw. Bashiru Kibopo wakati ya ziara ya kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Wilayani humo,wa pili kutoka kushoto ni Mbunge wa jimbo hilo Mh. Allyseif Ungando na wa kwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Rufiji Bi. Maria Katemana.
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura aliyenyoosha mkono akiongea na baadhi ya wasanii waliojenga katika kijiji cha Wasanii na wanahabari kilichopo Wilayani Mkuranga wakati ya ziara aliyofanya ya kujionea shughuli za maendeleo ya sekta ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Wilayani humo.
SHARE











No comments:
Post a Comment