Aliekuwa
Mkuu wa wilaya ya Lindi, Yahaya Nawanda, (katikati), akikata utepe kuzindua
mradi wa”Hakuna wasichoweza”
unaowapatia elimu ya hedhi na vifaa vya kujistiri wasichana ili wasikose
kuhudhuria masomo yao mashuleni, Mradi huo unadhaminiwa na Vodacom Tanzania Foundation
na kuendeshwa na T-Marc Tanzania mkoani humo,Wengine katika picha kutoka
kushoto ni Aisha Mahadni mwanafunzi wa shule ya msingi stadium,Renatus
Rwehikiza aliekuwa mkuu wa Vodacom Tanzania Foundation,Mkurugenzi wa T-Marc
Tanzania,Diana Kisaka na Lalat Saidi.
SHARE










No comments:
Post a Comment