TRA

TRA

Wednesday, May 10, 2017

MRADI WA "HAKUNA WASICHOWEZA" WAZINDULIWA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Aliekuwa Mkuu wa wilaya ya Lindi, Yahaya Nawanda, (katikati), akikata utepe kuzindua mradi wa”Hakuna wasichoweza” unaowapatia elimu ya hedhi na vifaa vya kujistiri wasichana ili wasikose kuhudhuria masomo yao mashuleni, Mradi huo unadhaminiwa na Vodacom Tanzania Foundation na kuendeshwa na T-Marc Tanzania mkoani humo,Wengine katika picha kutoka kushoto ni Aisha Mahadni mwanafunzi wa shule ya msingi stadium,Renatus Rwehikiza aliekuwa mkuu wa Vodacom Tanzania Foundation,Mkurugenzi wa T-Marc Tanzania,Diana Kisaka na Lalat Saidi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger