Mchezaji
wa zamani wa timu ya Taifa ya Nigeria, Super Eagles, Nwankwo Kanu ambaye
pia ni balozi wa makampuni ya StarTimes barani Afrika akiwasili katika
Jengo la Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete lililopo katika Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili ambako amewatembelea wagonjwa wa moyo leo. Kanu
atakiwepo nchini kwa muda wa siku tano kushiriki shughuli mbalimbali za
kampuni na kijamii.
Daktari
Bingwa wa Upasuaji wa Moyo, Dk Peter Kisenge katika taasisi hiyo
akimkaribisha Nwankwo Kanu Ambaye pia ni balozi wa makampuni ya
StarTimes barani Afrika. Kanu atakuwepo nchini kwa muda wa siku tano
kushiriki shughuli mbalimbali za kampuni na kijamii.
Nwankwo
Kanu ambaye pia ni balozi wa makampuni ya StarTimes barani Afrika
akimsikiliza Daktari bingwa katika Taasiai ya Moyo ya Jakaya Kikwete
iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk Peter Kisenge wakati akitoa
taarifa fupi ya taasisi hiyo
Aliyekuwa
mchezaji nyota wa timu ya taifa ya Nigeria, Nwanko Kanu akifafanua
jambo kwa madaktari wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo
hospitali ya taifa ya Muhimbili wakati alipotembelea hapo.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment