Staa kutoka Bongo Movie Rammy Galis alfajiri ya April 27 2016 alirudi Dar es Salaam akitokea Nigeria alipokuwa kapata mualiko wa kushirikishwa katika filamu na director mkubwa wa nchi hiyo, Rammy baada ya kurudi Tanzania akiwa Airport Dar es Salaam alithibitisha kupata dili la kuigiza movie nyingine mbili baada ya kufanya vizuri katika movie ya kwanza akiwa Nigeria.
SHARE
No comments:
Post a Comment