Mmoja
wa wafanyakazi wa UN Tanzania (aliyesimama), akizungumza na Wanafunzi
wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School of
Tanganyika-IST) kuelezwa namna ofisi hiyo inavyo pambana kutetea haki
mbalimbali za msingi kwa watoto popote duniani. Wanafunzi hao
walitembelea ofisi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kujifunza mambo
anuai
Mmoja
wa wafanyakazi wa UN nchini Tanzania (kulia), akitoa somo kwa Wanafunzi
wa 'International School of Tanganyika-IST' waliotembelea ofisi hiyo
nchini Tanzania kujifunza shughuli mbalimbali za msingi zinazofanywa na
UN.
Baadhi
ya Wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School
of Tanganyika-IST) wakijibu maswali mara baada ya kuelezwa namna ofisi
ya Umoja wa Mataifa, UN zinavyo pambana kutetea haki mbalimbali za
msingi kwa watoto.
Baadhi
ya Wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School
of Tanganyika-IST) wakifuatilia maelezo toka UN ya namna ofisi hizo za
Umoja wa Mataifa zinavyofanya kazi hasa kutetea haki mbalimbali za
msingi kwa watoto. Nyuma ni baadhi ya walimu wa IST walioambatana na
wanafunzi hao.
Mmoja
wa wafanyakazi wa UN Tanzania (aliyesimama), akizungumza na Wanafunzi
wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School of
Tanganyika-IST) kuelezwa namna ofisi hiyo inavyo pambana kutetea haki
mbalimbali za msingi kwa watoto popote duniani. Wanafunzi hao
walitembelea ofisi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kujifunza mambo
anuai
Mmoja
wa wafanyakazi wa UN Tanzania (aliyesimama mbele), akizungumza na
Wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School of
Tanganyika-IST) kuelezwa namna ofisi hiyo inavyo pambana kutetea haki
mbalimbali za msingi kwa watoto popote duniani. Wanafunzi hao
walitembelea ofisi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kujifunza mambo
anuai.
Mmoja
wa wafanyakazi wa UN Tanzania (aliyesimama kulia), akizungumza na
Wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School of
Tanganyika-IST) kuelezwa namna ofisi hiyo inavyo pambana kutetea haki
mbalimbali za msingi kwa watoto popote duniani. Wanafunzi hao
walitembelea ofisi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kujifunza mambo
anuai
Baadhi
ya Wanafunzi wa Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (International School
of Tanganyika-IST) wakiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wao mara
baada ya ziara yao ya mafunzo kutembelea Ofisi za UN Tanzania.

Mkuu
wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza jambo na wataalamu
alioongozana nao katika uwanja mdogo wa ndege wa Moshi kwa ajili ya
kuruka na ndege ndo ya Shirika la Hifadhi za taifa (TANAPA) kwa ajili ya
kujionea hali ya mafuriko.
Mioundo mbinu ya barabara pia imeathirika vibaya.
Mkuu
wa wilaya akiwa katika uwanja wa ndege wa Moshi kwa ajili ya maandalizi
ya kwenda kujionea hali ya mafuriko katika maeneo mbalimbali.
Mtaalamau
anayeshughulikia Majanga kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro
Canon Masanja (wa tatu toka kulia) akimuelekeza jambo rubani muda mfupi
kabla ya ndege kuruka.
Mkuu
wa wilaya ya Moshi akiteta jambo na Kaimu meneja wa uwanja mdogo wa
ndege wa Moshi ,Fredrick Kimaro muda mfupi kabla ya kwenda kutizama eneo
lililo athirika kwa mafuriko.
Maeneo
mbalimbali ,zikiwemo nyumba zikiwa zimezingirwa na maji katika vijiji
vya Miwaleni huku mashamba yakiwa yameharbika vibaya.
Maashamba yamejaa maji ,
Maeneo
mengine barabara hazipitiki hali inayochangia wananchi wanaoishi katika
maeneo hayo kushindwa kupata huduma za kibinadamu.
Eneo la Mabogini pia liliathirika na mafuriko ingawa yalikuwa ni ya muda mfupi.
Sehemu ya mji wa Moshi unavyoonekana kwa juu.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
No comments:
Post a Comment