Miss
Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara akiongea na wanafunzi wa Kenton
High School ya Tabata jijini Dar es Salaam siku alipotembelea shuleni
hapo katika moja ya majukumu yake ya kuhudumia jumuiya. Miss Kamara
anadhamini wanafunzi wawili shuleni hapo
Miss
Tanzania USA Pageant Aeesha Kamara akimkabidhi msaada mwalimu mipira
siku alipotembela shule ya Kenton High School ya Tabata jijini Dar es
Salaam.
Miss Tanzania USA Aesha Kamara akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wawili anaowadhamini kwa kuwasomesha shuleni hapo.
Picha ya pamoja. (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment