TRA

TRA

Thursday, May 26, 2016

Pwani za Libya kudhibitiwa

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza, William Hague, akitoa hotuba yenye ujumbe kuulinda mustakabali wetu.
Uingereza imetoa msimamo wake kwamba itapeleka meli na askari wa majini kutoka katika ufalme wake nchini Libya ili kusaidia kutoa mafunzo kwa walinzi wa pwani wawe na uwezo wa kuzuia biashara ya ulanguzi kwa watu wanaotaka kuvuka bahari ya Mediterranean.
Maofisa hao wameeleza pia kuwa wanatafuta kibali cha umoja wa mataifa kwa ajili ya meli ya kuzuia boti za magendo ya silaha dhidi ya kundi Islamic State.
Mapema, wahamiaji kadhaa wa kadhaa walihofiwa kuzama wakati mashua zao zilizo kuwa na msongamano mkubwa zilipopinduka pwani ya Libya.
Walinzi wa pwani ya Italia wanasema kwamba hatua hiyo imesaidia kuokoa maisha ya wahamiaji elfu nne waliokuwa wakijaribu kuvuka bahari ya Mediterranean wiki hii.BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger