Watangazaji wa Kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa na Kituo cha
redio cha TimesFm ya jijini Dar, Sandra Temu na Raheem wakiongoza
mjadala maalumu wa utakaoibua hoja ya kutatua changamoto ya ajira
nchini, ambapo mjadala huo umeandaliwa na Kituo cha Timesfm redioni
ndani ya kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa kila siku ya Jumatatu
hadi Ijumaa saa 3 kamili usiku. Picha zote na Cathbert Kajuna wa
Kajunason Blog.
BAADHI ya wanafunzi wa elimu ya Juu kutoka katika vyuo mbalimbali
jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Mtangazaji wa kipindi cha
Campus Vybez katika mjadala maalumu wa utakaoibua hoja ya kutatua
changamoto ya ajira nchini, ambapo mjadala huo umeandaliwa na Kituo cha
Timesfm radion ndani ya kipindi cha Campus Vybez kinachorushwa kila siku
ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 kamili usiku.
Mc Pilipili akitoa kibwagizo mara baada ya kukaribishwa.
Mc Pilipili akijitambulisha kwa vijana, pembeni yake ni Ron
Fidanza, Naibu waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Vijana Mhe.
Anthony Mavunde.
Msimamizi Mkuu wa radio ya TimesFm Ron Fidanza.
Mhadhiri wa Lugha wa Chuo cha Ualimu DUCE, Mhe. Ruben Ndimbo akijitambulisha.
Mmoja wa waalikwa akijitambulisha.
Meza mkuu.
SHARE
No comments:
Post a Comment