TRA

TRA

Thursday, July 7, 2016

WATANZANIA WASHEREHEKEA EID DMV

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Ustaadh Ibrahim akianza kwa dua kwenye sherehe ya Eid ilizoandaliwa ma Jumuiya ya Kiislam DMV (TAMCO) na kuakaribisha Watanzania wote wakiwemo marafiki zao kwenye sherehe zilizofanyika siku ya Jumatano July 6, 2016 Slver Spring, Maryland nchini Marekani. Picha na Vijimambo na Kwanza Production

Ustaadh Hajji Khamis kutoka New York akitoa mawaidha ya Eid  kwenye sherehe ya Eid ilizoandaliwa ma Jumuiya ya Kiislam DMV (TAMCO) na kuakaribisha Watanzania wote wakiwemo marafiki zao kwenye sherehe zilizofanyika siku ya Jumatano July 6, 2016 Slver Spring, Maryland nchini Marekani.

Miss Tanzania USA Aeesha Kamara akijumuika na Watanzania wenzake  kwenye sherehe ya Eid ilizoandaliwa ma Jumuiya ya Kiislam DMV (TAMCO) na kuakaribisha Watanzania wote wakiwemo marafiki zao kwenye sherehe zilizofanyika siku ya Jumatano July 6, 2016 Slver Spring, Maryland nchini Marekani.

Watanzania na marafiki zao kutoka majimbo mengine wakijumuika pamoja  kwenye sherehe za Eid ilizoandaliwa ma Jumuiya ya Kiislam DMV (TAMCO) na kuakaribisha Watanzania wote wakiwemo marafiki zao kwenye sherehe zilizofanyika siku ya Jumatano July 6, 2016 Slver Spring, Maryland nchini Marekani.



Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger