TRA

TRA

Sunday, July 10, 2016

ZAWADI GANI NZURI ILINGANE NA UPENDO WA MAMA?

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



asante mama kwa kuniweka tumboni mwako miezi 9 

nikanyonya maziwa yako miaka 2 sina cha kukulipa kwa malezi uliyonilea na kunifundisha kazi mbalimbali zikiwemo za nyumbani na kua na heshima kwa jamii na kutokua na tabia ya udokozi na sasa nafurahia matunda ya riziki ya halali niipatayo ambayo mungu anaendelea kunizjaalia , zaidi nakukuombea maisha marefu mungu awe nasi, mama 
yangu Mariam Khamisi nakutakia maisha yenye baraka tele. 
(picha na Mmiliki wa ujijirahaa blog)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger