Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Aggrey Tisa Sabuni Mjumbe maalum wa Rais wa Sudani
Kusini aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo na kuwasilisha ujumbe
kutoka kwa Rais huyo wa Sudan kusini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea
ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Burudi uliowasilishwa kwake na Alain
Nyamitwe Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Picha na IKULU.
SHARE
No comments:
Post a Comment