Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Zantel, Benoit Janin (kushoto), akisalimiana na mkazi
wa Bugururuni, Awadh Selemani, Dar es Salaam jana, katika moja ya
kampeni za masoko katika kufikisha huduma na bidhaa zao karibu kwa
wateja. Zantel imemaliza hivi karibuni ukarabati mkubwa wa mtandao wake
wa 3G na 4G wenye lengo la kuboresha ubora wa huduma za intaneti na
sauti hivyo kupatikana kwa zaidi za asimilia 85 ya Tanzania.
Mkuu wa
Mauzo wa Zantel, Herbert Louis (kushoto) na baadhi ya wafanyakazi wa
timu ya mauzo, wakizungumza na baadhi ya wakazi wa Bugururu, Dar es
Salaam, katika moja ya kampeni za masoko kufikisha huduma na bidhaa zao
karibu kwa wateja. Zantel imemaliza hivi karibuni ukarabati mkubwa wa
mtandao wake wa 3G na 4G wenye lengo la kuboresha ubora wa huduma za
intaneti na sauti hivyo kupatikana zaidi za asimilia 85 ya Tanzania.
Mkuu wa
Masoko wa Zantel, Gasper Mbowa (katikati) na Naibu Ofisa Mtendaji Mkuu
wa kampuni hiyo, Zadok Prescott (kulia), wakiwafahamisha wafanyabiashara
wa soko la Kariakoo, Dar es Salaam, Yassin Hassani (kushoto) na
Abdallah Issa, baadhi ya huduma za kampuni hiyo katika moja ya kampeni
za masoko kufikisha huduma zao karibu na wateja. Zantel imemaliza hivi
karibuni ukarabati mkubwa wa mtandao wake wa 3G na 4G wenye lengo la
kuboresha ubora wa huduma za intaneti na sauti hivyo kupatikana zaidi za
asimilia 85 ya Tanzania.
Mkuu wa
Mauzo wa Zantel, Herbert Louis (kushoto) akizungumza na baadhi ya wapiti
njia katika mtaa wa Kongo, Dar es Salaam jana, katika moja ya kampeni
za masoko kufikisha huduma na bidhaa zao karibu kwa wateja. Zantel
imemaliza hivi karibuni ukarabati mkubwa wa mtandao wake wa 3G na 4G
wenye lengo la kuboresha ubora wa huduma za intaneti na sauti hivyo
kupatikana zaidi za asimilia 85 ya Tanzania.
Maofisa
wa Zantel wakizungumza na wachuuzi wa matunda karibu ya soko la
buguruni, Dar es Salaam, katika moja ya kampeni za masoko kufikisha
huduma na bidhaa zao karibu kwa wateja. Zantel imemaliza hivi karibuni
ukarabati mkubwa wa mtandao wake wa 3G na 4G wenye lengo la kuboresha
ubora wa huduma za intaneti na sauti hivyo kupatikana zaidi za asimilia
85 ya Tanzania. Kutoka kushoto ni, Mkuu wa Masoko, Gasper Mboya, Ofisa
Mtendaji Mkuu, Benoit Janin na Mkuu wa Mauzo, Herbert Louis.
Maofisa
wa ngazi ya juu wa Zantel wakibadilishana mawazo karibu na soko la
Buguruni, Dar es Salaam walipokwenda pamoja na timu ya mauzo kuzungumza
na wateja na wakazi wa maeneo hayo kuhusu huduma za Zantel na jjnsi
ilivyojipanga upya kuwaletea huduma bora. Kutoka kushoto; Ofisa Mtendaji
Mkuu, Benoit Janin, Kaimu CEO, Zadok Prescott, Mkuu wa Masoko, Gasper
Mboya na Mkuu wa Mauzo, Herbert Louis.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment