TRA

TRA

Sunday, January 29, 2017

TBL yapatiwa tuzo

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 Kamanda wa Polisi Kikosi cha usalama barabarani Tanzania, Mohammed  Mpinga, (kushoto) akibadilishana mawazo na   Afisa Uhusiano wa TBL Group, Amanda  Walter (katikati) na Meneja wa  Chapa ya Ndovu ,Nicholous John  wakati wa hafla ya Tanzania Leadership Awards iliyofanyika  jijini mwishoni mwa wiki.Jeshi la polisi lilitunukiwa tuzo ya ubunifu wa huduma mbalimbali katika utendaji wake wa kazi -Most  Innovative Service of the  Year 2016 


 Balozi wa Moroco nchini, Abdelilah Bennjane,  (kushoto) akimkabidhi  Meneja wa  Chapa ya Ndovu  ,Nicholous John (kulia)  tuzo ya ushindi  wa jumla  kwa kipengele cha Mitandao ya kijamii ( Social Media Campaign of the year)  TBL ilishinda  kipengele hicho kupitia kampeni yake ya Mwagika Challege Tanzania.







Ofisa Uhusiano wa TBL Group Amanda  Walter (Kulia) akipokea tuzo kutoka kwa Meneja Mkuu wa kituo cha Televisheni cha TV 1,Joseph Sayi ,  wakati wa hafla ya tuzo kwa makampuni na taasisi zilizofanya vizuri katika nyanja mbalimbali  ya    Tanzania Leadership Awards 2016 iliyofanyika katika hoteli ya Kilimanjaro    jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.








Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger